Hamisa Mobetto na Zamaradi Hapatoshi Watibuana Kisa Hiki Hapa

Hamisa Mobetto na Zamaradi  Hapatoshi Watibuana Kisa Hiki Hapa
Mwanamitindo Hamissa Mobetto ameonekana na mkosi kwa kila jambo baada ya kutupiwa lawama nzito na Mwanadada Mwanaharakati Zamaradi mketema za kusambaza habari za uongo kuhusu nguo aliyoivaa siku ya 40 ya mtoto wake pamoja na  kuwachangisha pesa watu kwaajili ya kukamilisha shughuli yake huku Zama akidai kuwa sherehe nzima kula, kunywa na kila kitu ameigharamia yeye mwenyewe.

Kupitia akaunti yake ya instagram Zamaradi ameandika waraka mzito na majadiriano ya hamisa mobetto kuhusiano na walichojadiliana kuhusu mshono ambao alishona mwanamama huyo ambapo inadaiwa baada ya kupewa mshono huo akaenda kushona sehemu nyingine.

''tukija kwenye nguo naambiwa nilipewa mshono na mtu nikaenda kushona kwingine!! Funny wallah!! Na nimeshangazwa sana na uongo mkubwa wa namna hii, Nimeattach ushahidi hapo juu kuwa MIMI NDIO NIMETUMA HUO MSHONO KWAKE NA SIO YEYE, hakuwa anaufahamu kabla, hata kama kuna roho mbaya mnanipa sio ya kiasi hiko, sasa hapo nani mbaya!? Kutokana na kupishana na muda nikaona nikashone kwingine, na zaidi Swala la kushona popote ni uamuzi, since sio mshono niliochukua kwa mtu nina uhuru wa kuupeleka popote, nina biashara ya duka la nguo nina CATERING ila silazimishi kila ananenijua aje kwangu, na zaidi SIJISIKII VIBAYA riziki inapoenda kwa wengine, sina roho mbaya hiyo, riziki kugawana. Am very dissapointed kiukweli na binaadamu ila nimegundua kinachofanya haya yote sio kwamba wananihofia mimi ila NGUVU YANGU. hata ukinyamanza kimya watu

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais