Rapa wa Marekani Pop Smoke auwawa kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwake (Video)

NancyTheDreamtz
Rapa chipukizi nchini Marekani Pop Smoke ameripotiwa kuuwawa baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake mjini Hollywood Hills.

Pop Smoke amewahi kufanya kazi na Nicki Minaj pamoja na Travis Scott, na alikuwa akipewa nafasi yakufanya vizuri zaidi katika muziki wake.
Video hapo juu inauonyesha mwili wa msanii Pop Smoke akibebwa kwenye machela baada yakupigwa risasi nyumbani kwake ambapo mwili wake umehifadhiwa katika hospital ya Cedars-Sinai Medical Center mjini West Hollywood.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais