Z Anto akasirishwa na kauli za Wastara kwa Binti Kiziwi (Video)

NancyTheDreamtz

Msanii wa muziki, Z Anto amedai hajapendezwa na namna muigizaji Wastara waliivyokuwa akimzungumzia vibaya, Binti Kiziwi ambaye ameshiriki kama video queen kwenye wimbo wake ‘Nichape’ ambao kwa sasa unafanya vizuri. Hata hivyo muimbaji huyo ameshindwa kueleza mahusiano yake na Wastara.

Comments

Popular posts from this blog

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Hii Hapa Orodha ya Uteuzi Alioufanya Rais Magufuli leo

Jeshi la Uganda lazindua kondomu zenye kibwagizo ‘Usiende nyama kwa nyama’ kuwalinda wanajeshi wake