Yanga Yapigwa na KMC Bao 1-0, Yabaki Nafasi ya Tatu

NancyTheDreamtz

Timu ya Yanga imefungwa bao 1-0 dhidi ya KMC leo Machi 12, 2020 katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Mfungaji wa bao la KMC ni Salim Aiyee dakika ya 62.


Comments

Popular posts from this blog

Kila Mwanaume Anaye Lala na Mimi Harudii Tena na wala Simu zangu Hapokei

Jokate Aapa Kupambana na Wazazi, Walezi Wasiowapeleka Watoto Shule

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania