Maisha ya Msanii Hawa ni Darasa Tosha

NancyTheDreamtz


Msanii hawa aliyefahamika zaidi kupitia wimbo wa Diamond Plutinumz wa Nitarejea. Aliwahi kukiri kwamba stress za maisha zilimpelekea kuingia katika maisha ya utumiaji wa madawa ya kulevya pamoja na utumiaji wa pombe kali, bange na pombe za kienyeji (mataputapu)

Hiyo ikapelekea kuuchukia wimbo wa nitarejea na kumlalamikia Diamond kwamba hakulipwa chochote kwenye wimbo wa Nitarejea.

Kutokana na utumiaji wa pombe kali ikapelekea kuugua ugonjwa wa ini na kujaa sana kwa tumbo. Diamond akamsaidia kumpeleka India kwa ajili ya matibabu na akapona. Sasa hivi anaendelea na muziki.

Ameachia wimbo mpya unaitwa Moyo ni wimbo mzuri; una maadili unaweza kuuangalia hata ukiwa na familia yako.

Hii inatufundisha jinsi gani Mungu anatoa another chance Kwa ajli ya kujirekebisha. Sasa hivi Hawa anaoga, anapendeza.

Kwa kifupi anajua kuimba. Simsifii sana.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais