Video: Dr Mwaka Kafunguka Kuhusu Mke Wake Aliewahi Kuolewa na Mtu Mwingine

NancyTheDreamtz

Mapya yanaendelea kuibuka ambapo Dr Mwaka FEB 25 alifunguka kupitia kipindi cha Ala za Roho kuhusu wanaomkosea kumuoa mke aliewahi kuolewa zamani.

Itazame hii video ujionee akifunguka kwenye kipindi cha Diva Loveness cha Ala za Roho kinachorushwa Radio Clouds FM

VIDEO:


Comments

Popular posts from this blog

Waziri Lugola Awaondoa Madarakani Maafisa Wa NIDA Mkoa Wa Ruvuma

UCHAGUZI KENYA: Mchezaji wa zamani wa Inter Milan, McDonald Mariga kutoana jasho na Prezzo