Msanii Lulu Diva baada ya ngoma yake ya “Ona” ft Mavoko kufanya vizuri ameachia video ya “Alewa” aliyomshirikisha S2kizzy (+Video)

NancyTheDreamtz
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Lulu Diva alimaarufu Sexy lady ameachia video ya ngoma yake ya “Alewa” ambayo amemshirikisha mwandaaji wa muziki (Producer) katika studi za Switch rekodi S2kizzy.


Msanii huyo wakati anaongea na Bongo five wiki moja iliyopita alifunguka na kusema kuwa nyimbo hiyo imeandikwa na S2kizzy ambaye pia ndio Producer wa ngoma hiyo lakini video ikitengenezwa na Director Ivan.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais