Hiki Hapa Kikosi Cha Wananchi Kinachokwea Pipa Kuelekea Algeria

KIKOSI cha Wananchi, Young Africans SC kinachokwea pipa kuelekea Algeria kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa fainali ya kombe la shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger utakaopigwa Juni 3, 2023. nyandichethedreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Waziri Lugola Awaondoa Madarakani Maafisa Wa NIDA Mkoa Wa Ruvuma

UCHAGUZI KENYA: Mchezaji wa zamani wa Inter Milan, McDonald Mariga kutoana jasho na Prezzo