Msanii wabongo movie Duma afunga ndoa



Mkali wa Filamu Bongo, Daud Michael maarufu 'Duma' amefunga ndoa Ijumaa hii na mpenzi wake anaetajwa kuwa wa muda mrefu ambaye sasa amekuwa mkewe rasmi.

Duma na mkewe wamefunga ndoa hiyo kwa dini ya kiislamu na kuhudhuriwa na watu wake wa karibu.

NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Hii Hapa Orodha ya Uteuzi Alioufanya Rais Magufuli leo

Jeshi la Uganda lazindua kondomu zenye kibwagizo ‘Usiende nyama kwa nyama’ kuwalinda wanajeshi wake