FID Q aeleza mazito aliyoambiwa kuhusu marehemu Pancho Latino ‘alikataa mwili wake kuagwa Leaders’ (+video)

NancyTheDreamtz
Rapper FID Q ambaye ni mwanakamati wa mazishi ya marehemu Pancho Latino, amefunguka mambo mazito ambayo ameambiwa na ndugu wa marehemu pamoja na Pancho Latino kabla ya umauti kumkuta siku ya jana.

FId Q amesema kuwa ndugu wa marehemu wamemwambia Pancho alikataa katu katu mwili wake kuagwa katika viwanja vya Leaders jijini Dar Es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

Waziri Lugola Awaondoa Madarakani Maafisa Wa NIDA Mkoa Wa Ruvuma

UCHAGUZI KENYA: Mchezaji wa zamani wa Inter Milan, McDonald Mariga kutoana jasho na Prezzo