Rosa Ree "Sijali Wanaoponda Mimi Kubinua Mdomo, Maneno ya Watu Hayanilipii Bills"


Female Rapper, #RapGoddess @rosa_ree amesema kuwa hakuna mtu anamsumbua au kumfanya akate tamaa kuhusu muziki wake eti sababu ikiwa ni Swag zake za kubinua mdomo, au kutoa Ulimi nje

Rosa Ree amesema maoni ya watu kama hayo hayamuharibii chochote na kubinua kwake mdomo ndio kumemfanya apate Supermarket, ana Kolabo na International Artist Kibao na bado anaendelea kuzifanya na kwa sababu maoni hayo sio pesa basi wala hatakata tamaa yeye kuendelea kusonga mbele zaidi.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais