Kilichomuondoa Antonio Nugaz Yanga Huenda ni Hichi

"Wakati naingia Young Africans niliwaambia viongozi msije mkamfukuza mtu yeyote, Mkifanya hivyo itaonekana Mimi ndio nimehusika katika hilo. "Kile alichokifanya Nugaz kunitusi bila sababu inawezekana kabisa kuwa ndicho kilichomuondoa Nugaz." "Mimi sijakukosea kitu unanitusi vipi! Nimeingia Young Africans Siku ya pili tu unanitusi bila sababu, sijawahi kukuosea!" - Haji Manara, Msemaji wa Young Africans nyandichethedreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Hii Hapa Orodha ya Uteuzi Alioufanya Rais Magufuli leo

Jeshi la Uganda lazindua kondomu zenye kibwagizo ‘Usiende nyama kwa nyama’ kuwalinda wanajeshi wake