Diva "Diamond ananilipa mshahara mara tatu ya mwanzo na amenipa gari mpya"


Mtangazaji mpya wa #WasafiFm @divatheebawse ameeleza kuwa kwenda Wasafi @diamondplatnumz amemlipa msharaha mara tatu na kupewa zawadi ya gari.

@divatheebawse hakuweka wazi analipwa mshahara wa kiasi gani lakini amesema kuwa @diamondplatnumz atakuwa anamlipa mara tatu ya mshahara wa mwanzo.

Akiongea wakati anakaribishwa @divatheebawse amesema kuwa amepewa gari ingawa hajasema gari ya aina gani.

@divatheebawse atakuwa anafanya kipindi cha #LaviDavi kupitia Wasafi amnacho kitahusu mambo ya mahusiano kama ilivyokuwa Cloudsfm.

NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais