UMAWEZA BADO INAENDELEA KUONYESHA UIMARA WAKUKZA ELIMU YA SAYANSI VISIWANI ZANZIBAR

      Ilikuonyesha dhamira ya dhati katika kuipa morali jamii ya Zanzibar Taasisi ya Umaweza imeonyesha uimara zaidi katika maonyesho ya Nanenane visiwani humo kwa kuonyesha bidhaa zinazoweza kumfanya Mwanafunzi kuwa imara katika elimu ya sayansi kwakuweka vitendea kazi vinavyoweza kumpa Mwanafunzi uelewa zaidi wakisayansi kama uonavyo picha hapo chini 
                                          NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais