Mwijaku Aampa Ushauri Hamisa Mobetto " Ulifanikiwa Kuchomoka, Ukapona! Kuwa Makini, Usiangukie Kwenye Mikono yao Tena"

NancyTheDreamtz
Ujumbe wa Mwijaku kwa Hamisa Mobeto

"Wataanza Kukumiss pale watakapokosa mbadala wako. Wataanza kukumiss pale watakapoona uso wako umejaa tabasamu na muonekano wako ni bomba kuliko awali.
Ulifanikiwa kuchomoka, ukapona! Kuwa makini, usiangukie kwenye mikono yao tena"

Comments

Popular posts from this blog

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Waziri Lugola Awaondoa Madarakani Maafisa Wa NIDA Mkoa Wa Ruvuma