Mwijaku Aampa Ushauri Hamisa Mobetto " Ulifanikiwa Kuchomoka, Ukapona! Kuwa Makini, Usiangukie Kwenye Mikono yao Tena"

NancyTheDreamtz
Ujumbe wa Mwijaku kwa Hamisa Mobeto

"Wataanza Kukumiss pale watakapokosa mbadala wako. Wataanza kukumiss pale watakapoona uso wako umejaa tabasamu na muonekano wako ni bomba kuliko awali.
Ulifanikiwa kuchomoka, ukapona! Kuwa makini, usiangukie kwenye mikono yao tena"

Comments

Popular posts from this blog

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Hii Hapa Orodha ya Uteuzi Alioufanya Rais Magufuli leo

Jeshi la Uganda lazindua kondomu zenye kibwagizo ‘Usiende nyama kwa nyama’ kuwalinda wanajeshi wake