CHADEMA yamgomea Membe kisa Lissu..Aende tu Vyama Vingine

NancyTheDreamtz

Baraza la Wazee CHADEMA wamesema hawafikilii Benard Membe atajiunga na chama hicho ila wengependa zaidi kuona anahamia vyama vingine vya upinzani kwani atawasaidia kuzigawa kura za Chama cha Mapinduzi CCM.

Comments

Popular posts from this blog

Waziri Lugola Awaondoa Madarakani Maafisa Wa NIDA Mkoa Wa Ruvuma

UCHAGUZI KENYA: Mchezaji wa zamani wa Inter Milan, McDonald Mariga kutoana jasho na Prezzo