CHADEMA yamgomea Membe kisa Lissu..Aende tu Vyama Vingine

NancyTheDreamtz

Baraza la Wazee CHADEMA wamesema hawafikilii Benard Membe atajiunga na chama hicho ila wengependa zaidi kuona anahamia vyama vingine vya upinzani kwani atawasaidia kuzigawa kura za Chama cha Mapinduzi CCM.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais