Fiesta Dar, Kwa mara ya kwanza kufanyikia Uwanja wa Taifa Alikiba Kutumbuiza

NancyTheDreamtz

Tamasha la Fiesta 2019 limefikia ukingoni na linatarajiwa kufanyika Desemba 8, 2019 Jijini Dar Es Salaam.



Tamasha hilo kongwe kabisa la burudani Tanzania, Kwa mara ya kwanza litafanyika katika Uwanja wa Taifa hii ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na waandaaji wa tamasha hilo Clouds Media.

Kuhusu idadi ya wasanii watakaotumbuiza bado haijatajwa na mpaka sasa ni Alikiba pekee aliyethibitisha kuwa atatumbuiza huku orodha nyingine ndefu ya wasanii ikitarajiwa kutangazwa kuanzia leo kupitia vipindi mbalimbali vya Clouds FM.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais