Baada ya Ndoa ya Sugu Kuisha Faiza Arudi Bongo Ajiliwaza na Wanae

NancyTheDreamtz
KUBALI yaishe! Mwanamama wa Bongo Movies, Faiza Ally ambaye ni mzazi mwenza wa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ ametua Bongo akitokea China na kusema sasa roho yake ni kwatu baada ya Sugu kuoa.

Faiza ameliambia Gazeti la Ijumaa Wikienda kuwa amerejea nyumbani kuendeleza nguvu ya biashara zake akiwa yuko vizuri na kusema ameshasahau maumivu aliyopitia akiwa nchini China baada ya Sugu kuoa. “Nimerudi nyumbani kwa nguvu zote na nipo sawa kabisa. Mungu amenisaidia na sasa naangalia familia na maisha yangu yajayo,” alisema Faiza kwa upole

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais