Skip to main content

Nina miaka 32 najiona nimekua, najutia sana kuchora tattoo na kutoboa masikio-Mr. Blue (+video)

NancyTheDreamtz

Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Mr Blue amesema kuwa anajutia sana baadhi ya vitu ambavyo alishawahi kuvifanya kipindi cha nyuma akiwa mdogo ambavyo hadi sasa vinamuumiza kichwa.

Akitaja baadhi ya vitu hivyo kwenye mahojiano yake na Bongo5,  Mr. Blue amesema kuwa ni kitendo cha kutoboa sikio akiwa darasa la 7 na kuchora tattoo.
Kwa upande mwingine amewaasa wasanii wengine hususani wachanga kutokufanya vitu ambavyo baadae vitawaletea majuto kwani kila fasheni inabadilika kuendana na muda.

Related Articles

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais