Breaking News: Tanzania Yathibitisha Kuwa na Mgonjwa Mmoja wa CORONA..Aliingia Nchini Jana Kupitia Uwanja wa Ndege KIA

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema mtanzania mmoja ambaye aliingia nchini Machi 15 kupitia uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro akitokea Ubelgiji amethibitika kuwa na virusi vya Corona. Ummy amesema ni mwanamke mwenye miaka 46.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais