IRENE Uwoya "Roho Inaniume Sana Kwa Mwanangu Kutukanwa Mitandaoni"

NancyTheDreamtz
"Hakuna kitu kinachoniuma kama kutukaniwa mwanangu huwa naumia sana inafikia kipindi naogopa kumpost mitandoni japo Krish mwenyewe huwa nachukia nisipopost picha yake"
Ameyasema hayo UWOYA alipoojiwa na Zamaradi

Comments

Popular posts from this blog

Waziri Lugola Awaondoa Madarakani Maafisa Wa NIDA Mkoa Wa Ruvuma

UCHAGUZI KENYA: Mchezaji wa zamani wa Inter Milan, McDonald Mariga kutoana jasho na Prezzo